Log inSign up
Kigogo Media
231.2K posts
user avatar
Kigogo Media
@kigogo2014
Official X handle of Kigogo Media I The uncensored,unfiltered and unbiased online news in East Africa I Email: [email protected]
Kenya and Tanzania
kigogomedia.com
Joined April 2014
792
Following
1.4M
Followers

New to X?

Sign up now to get your own personalized timeline!

Create account

By signing up, you agree to the Terms of Service and Privacy Policy, including Cookie Use.

Terms·Privacy·Cookies·Accessibility·Ads Info·© 2026 X Corp.
Don't miss what's happening
People on X are the first to know.
Log inSign up
  • Pinned
    user avatar
    Kigogo Media
    @kigogo2014
    May 15, 2023
    Sisi ndiyo sisi!.. tunaanza upyaaaa
    2.6M
  • user avatar
    Kigogo Media
    @kigogo2014
    5h
    Ronaldo kazi na umri eeeh
    00:00
    3.7K
  • user avatar
    Kigogo Media
    @kigogo2014
    5h
    Himi jamaa ni hatari!.. nasikia limekimbilia SA
    user avatar
    𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿
    @_zack255
    12h
    Katika kipindi cha sasa, Nilesh anapoteza nafasi yake ya zamani hivyo anatumia fedha kuwalipa upinzani na wanaharakati ili waeneze propaganda kali dhidi ya serikali. Hii ni jaribio la kurudisha nyuma maendeleo yanayonufaisha taifa lote. #UkweliKuhusuMafuta Nilesh Suchak
    1.6K
  • user avatar
    Kigogo Media
    @kigogo2014
    5h
    Sue wapi! Hela ya kumjengea mamako choo huna unapayukapayuka hapa sijui ku sue META 🚮🚮
    user avatar
    Maria Sarungi Tsehai
    @MariaSTsehai
    8h
    If @Meta suspended my account because of this then I am moving to sue Meta! If what I wrote was false - how can I be suspended for that? The government just clarifies. @grok did @Meta say this is the reason they suspended my account because the only information they said was
    1.4K
  • user avatar
    Kigogo Media
    @kigogo2014
    9h
    Si ulisema yuko Paris au? Wewe hunaga akili kabisa 🚮
    user avatar
    Maria Sarungi Tsehai
    @MariaSTsehai
    14h
    😁😁😁 napenda tunavyompelekesha Mwuaji in chief 🔥 Imebidi ajitokeze na safari ya Ufaransa na Serbia zimefutwa dakika ya mwisho na sasa anawakilishwa - huko nje anaogopa kutoa pua! Tunamzoom kila kona! Sasa kesho tunajua ametoa yeye amri kwa lolote bata na atawajibika
    3.4K
  • user avatar
    Kigogo Media
    @kigogo2014
    10h
    TAFUTA KAZI YA KUFANYA ... Hutakaa ufanikiwe haya mambo unafanya na mabeberu...
    user avatar
    Maria Sarungi Tsehai
    @MariaSTsehai
    11h
    Macho ya dunia iko Tanzania kesho! Tusiogope huu ni ushindi tayari kilichobaki ni kutokka na ku CLAIM VICTORY 💪🏽 DM ya @instagram mnaweza kunikuta sukumeni taarifa na video - mi nitahabarisha dunia hata ka wamezuia akaunti ya Instagram na Facebook Tanzania Akaunti zangu zina
    2.2K
  • user avatar
    Kigogo Media
    @kigogo2014
    15h
    Utauwa nyumbu zako kwa haya matango unawashindilia khaa!..
    user avatar
    Maria Sarungi Tsehai
    @MariaSTsehai
    Jul 5
    Haya naona ushafika Ulaya atii! ?Umekimbia 7/7 ? Maana kisingizio eti sijui kukuza Kiswahili Paris 🤣 Sasa mliobaki ole wenu mfanye ya kufanya na mnajua ICC washabisha hodi! Wasemaji mjichunge watasema hamkupewa go ahead Wanajeshi na polisi watasema hakuwepo wa kutoa amri
    3.3K
  • Kigogo Media reposted
    user avatar
    𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿
    @_zack255
    16h
    Replying to @ElkanahMbaka
    Nilesh Suchak na kampuni yake State Oil walikuwa na ukiritimba mkubwa kwa miaka mingi kama waagizaji na wauzaji pekee wa mafuta nchini. Walitumia fursa hii vibaya kwa kuiba mali ya taifa, kukwepa kodi na kuuza mafuta ya Tanzania kwa nchi jirani kupitia njia zisizo halali na za
    875
  • user avatar
    Kigogo Media
    @kigogo2014
    15h
    Hanaga akili kabisa!.. Hana taarifa na hana vyanzo vya taarifa
    user avatar
    Nyani Ngabu
    @NNgabu_
    23h
    Maria Sarungi hachoki kuwalisha followers wake matango pori. Walau miaka ya nyuma alikua anajaribu kusikia uongo ambao hautagundulika kirahisi. Siku hizi kawa "I don't care". Yeye anashusha taarifa yoyote tu ilimradi inaendana na propaganda zake. Aibu mtaona nyie wenyewe😂.
    6.3K
  • user avatar
    Kigogo Media
    @kigogo2014
    15h
    Hunaga akili na huna taarifa! Huyu nani? Tafuta kazi ya kufanya wewe! Huna unachojua kwenye nchi hii sijui kwa nini huelewi.. Si ulisema Rais yuko France ! Hapa ni wapi sasa? Au Paris kuna Agha Khan😁 Tukiwaambia mnafanya harakati za upumbavu mnakasirika!..
    user avatar
    Maria Sarungi Tsehai
    @MariaSTsehai
    Jul 5
    Haya naona ushafika Ulaya atii! ?Umekimbia 7/7 ? Maana kisingizio eti sijui kukuza Kiswahili Paris 🤣 Sasa mliobaki ole wenu mfanye ya kufanya na mnajua ICC washabisha hodi! Wasemaji mjichunge watasema hamkupewa go ahead Wanajeshi na polisi watasema hakuwepo wa kutoa amri
    5.5K
  • user avatar
    Kigogo Media
    @kigogo2014
    15h
    Huna akili takataka kabisa! We si ulisema Rais yuko Paris au?
    user avatar
    Maria Sarungi Tsehai
    @MariaSTsehai
    21h
    Kwa hiyo mmeona suprise factor ya Paris tumeilipua, mkaona aibukie Serbia? Au maradhi yanamsumbua? Eniwei naona wao wanakwea pipa tu ila watumishi wa umma wenye safari muhimu wanapigwa stop! Hadi Madilu kakimbia 7/7 aisee 😁 pamoja na ubabe wote! Sasa kabaki nani? Nchimbi? Kazi
    2.6K
  • user avatar
    Kigogo Media
    @kigogo2014
    18h
    VURGUTU ZOOTE ZA HECHE NA MPINA CHANZO NI HUYU 📌
    6.1K
  • user avatar
    Kigogo Media
    @kigogo2014
    18h
    SHIDA YOTE HII NI JAMBAZI NILESH SUCHAK SIKU zote majitu yanayokwepa kodi na majizi na macartel kama Nilesh Suchak ndiyo yamekuwa chanzo cha vurugu kwenye mambo ya mafuta kwenye nchi hii.. NILESH SUCHAK hajaanza leo mambo haya na hataacha leo kwa kuwa kampuni yake imekuwa
    9.7K