Log inSign up
Ismail Jussa
18.9K posts
user avatar
Ismail Jussa
@IsmailJussa
+259 | Proudly Zanzibari | Vice Chairman (Zanzibar) @ACTWazalendo
Zanzibar
ismailjussa.wordpress.com
Joined July 2010
1,254
Following
134K
Followers

New to X?

Sign up now to get your own personalized timeline!

Create account

By signing up, you agree to the Terms of Service and Privacy Policy, including Cookie Use.

Terms·Privacy·Cookies·Accessibility·Ads Info·© 2026 X Corp.
Don't miss what's happening
People on X are the first to know.
Log inSign up
  • Pinned
    user avatar
    Ismail Jussa
    @IsmailJussa
    Apr 27, 2019
    Kwa manufaa ya watu wetu na nchi yetu, Mabadiliko ni SASA! Ewe Mtanzania, Karibu uungane nasi kwenye Safari ya Mabadiliko. @ACTwazalendo ndiyo habari ya mjini kwa sasa. #ShushaTangaPandishaTanga #SafariIendelee #TheFutureIsBright #TheFutureIsPurple
    00:00
  • user avatar
    Ismail Jussa
    @IsmailJussa
    Oct 11, 2020
    Kura yangu mimi ni kwa @TunduALissu
  • user avatar
    Ismail Jussa
    @IsmailJussa
    Sep 23, 2020
    Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inakwenda kuongozwa na Rais @TunduALissu na Zanzibar inakwenda kuongozwa na Rais @SeifSharifHamad. Hapo vipi? #TanzaniaDecides2020 #ZanzibarDecides2020
  • user avatar
    Ismail Jussa
    @IsmailJussa
    Sep 7, 2020
    Naitunuku siku ya leo September 7, 2020 kwa rafiki na kaka yangu @TunduALissu ambaye tarehe kama ya leo miaka mitatu iliyopita alimiminiwa mvua ya risasi kwa lengo la kumuangamiza lakini Mwenyezi Mungu Mtukufu Akamweka hai ili aje atimize kiu ya Watanzania ya kuing'oa CCM.
  • user avatar
    Ismail Jussa
    @IsmailJussa
    Oct 6, 2020
    CCM haya mambo mnayomfanyia @TunduALissu mnazidi tu kumjenga na kumuongezea mapenzi ya Watanzania kwake. Mnawaongezea Watanzania hasira dhidi yenu na kuwapandisha mori wa kuleta mabadiliko. Hamna uwezo wa kulizuia wimbi hili. @TunduALissu ndiye Rais ajaye. #NiYeye2020
  • user avatar
    Ismail Jussa
    @IsmailJussa
    May 15, 2020
    Kama nakuona @fatma_karume katika Baraza la Wawakilishi, Oktoba 2020 ukila kiapo kama Mwakilishi wa Jimbo la #ShauriMoyo (zamani likiitwa Kwamtipura). Utakuwa unaendeleza historia ya babu yako Mzee Karume aliyewakilisha Jimbo la Kwahani ambalo miaka hiyo likijumuisha Kwamtipura.
  • user avatar
    Ismail Jussa
    @IsmailJussa
    Oct 14, 2020
    CCM tumieni siku zilizobakia za kampeni kuwaaga Watanzania na Wazanzibari. #ZanzibarDecides2020 #TanzaniaDecides2020
  • user avatar
    Ismail Jussa
    @IsmailJussa
    Sep 21, 2020
    Rais ajaye wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni @TunduALissu, ametamka leo Maalim @SeifSharifHamad katika Mkutano wake wa Kampeni huko #Mahonda, Mkoa wa Kaskazini Unguja.
  • user avatar
    Ismail Jussa
    @IsmailJussa
    Sep 28, 2020
    Wimbi hili ni kubwa! CCM anzeni kujiandaa kisaikolojia kukabidhi madaraka #Zanzibar na #Tanzania kwa Rais ajaye wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. @TunduALissu na Rais ajaye wa Zanzibar, Maalim @SeifSharifHamad. Your days in office are numbered!
  • user avatar
    Ismail Jussa
    @IsmailJussa
    Sep 21, 2020
    Tuko pamoja na wewe Simba Jike @fatma_karume katika yote unayopitia. Wewe kweli ni mjukuu wa Mzee Abeid Amani Karume. Vitimbi vyao vyote havitafanikiwa kuizima sauti yako ya Ukombozi. We love you Fatma! #FreedomIsComing!
  • user avatar
    Ismail Jussa
    @IsmailJussa
    Aug 1, 2020
    Unataka kujua nguvu ya #UMOJA wa Upinzani na jinsi CCM wanavyouogopa? Tazama tweet yangu ya kuhimiza ushirikiano wa @ACTwazalendo na @ChademaTZ ilivyowaibua MATAGA! Mpaka wamejigeuza watetezi wa ama #Chadema au #ACT lengo likiwa ni kutuchonganisha. Tuamue! Watanzania wako tayari!
  • user avatar
    Ismail Jussa
    @IsmailJussa
    Oct 19, 2020
    "Mwaka huu tutamalizana na CCM huku #Tanganyika na pia #Zanzibar halafu tujenge Muungano mpya wa haki" - maneno ya Rais ajaye wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania @TunduALissu akimwambia Rais ajaye wa Zanzibar, Maalim @SeifSharifHamad dakika chache zilizopita huko Moshi leo.
  • user avatar
    Ismail Jussa
    @IsmailJussa
    Aug 1, 2020
    Kwa nini Tundu Lissu, Bernard Membe, Lazaro Nyalandu, Zitto Kabwe, Freeman Mbowe na Maalim Seif Sharif Hamad wasiwe #TimuMoja na kumuunga mkono mgombea mmoja mwenye uwezo mkubwa zaidi wa kuungwa mkono na Watanzania na kuifungisha virago CCM? Inawezekana tukitimiza wajibu wetu!
  • user avatar
    Ismail Jussa
    @IsmailJussa
    Mar 23, 2025
    Mwaka huu utawashangaza watu. Ni mwaka wa #AngukoLaCCM BI IDHNI LLAH. Fuatilia yanayojiri.
    57K