Nenda kwa yaliyomo

fog

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiingereza

[hariri]

Nomino

[hariri]


  1. Ni aina ya mawingu mazito meupe ambayo hutanda ardhini na kusababisha hali ya gizagiza kama inavyokuwa asubuhi sana kabla ya mapambazuko. Hali hii huwafanya watu kutoona vizuri.

Tafsiri

[hariri]