Nenda kwa yaliyomo

Alabama

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Alabama

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Montgomery
Eneo
 - Jumla 135,765 km²
 - Kavu 131,426 km² 
 - Maji 4,338 km² 
Tovuti:  http://www.alabama.gov/

Alabama ni jimbo la kujitawala la Muungano wa Madola ya Amerika au Marekani. Mji mkuu ni Montgomery na mji mkubwa jimboni ni Birmingham. Alabama imepakana na Tennessee, Georgia, Florida na Mississippi. Upande wa kusini ni maji ya Ghuba ya Meksiko. Idadi ya wakazi wa jimbo lote hufikia watu mil. 4,661,900 (2008) wanaokalia katika eneo la 135,765 km² ambalo ni hasa milima na jangwa.

Tazamia pia

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya Nje

[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

Alabama Alaska Arizona Arkansas California Colorado Connecticut Delaware Florida Georgia Hawaii Idaho Illinois Indiana Iowa Kansas Kentucky Louisiana Maine Maryland Massachusetts Michigan Minnesota Mississippi Missouri Montana Nebraska Nevada New Hampshire New Jersey New Mexico New York North Carolina North Dakota Ohio Oklahoma Oregon Pennsylvania Rhode Island South Carolina South Dakota Tennessee Texas Utah Vermont Virginia Washington West Virginia Wisconsin Wyoming

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Alabama kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.