2008
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 20 |
Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1970 |
Miaka ya 1980 |
Miaka ya 1990 |
Miaka ya 2000
| Miaka ya 2010
◄◄ |
◄ |
2004 |
2005 |
2006 |
2007 |
2008
| 2009
| 2010
| 2011
| 2012
| ►
| ►►
Jan.
| Feb.
| Mac.
| Apr.
| Mei
| Jun.
| Jul.
| Ago.
| Sep.
| Okt.
| Nov.
| Des.
Mwaka wa 2008 umetangazwa kuwa Mwaka wa Lugha wa Kimataifa.
Matukio
[hariri | hariri chanzo]Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 1 Januari - Lucas Sang, mwanariadha wa Kenya
- 11 Januari - Edmund Hillary, mpelelezi kutoka New Zealand na mtu wa kwanza kufika kileleni Mount Everest
- 27 Januari - Suharto, Rais wa pili wa Indonesia (1967-1998)
- 17 Aprili - Aime Cesaire, mwandishi kutoka Martinique
- 15 Mei - Willis Lamb, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1955
- 26 Mei - Sydney Pollack, mwigizaji na mwongozaji wa filamu kutoka Marekani
- 1 Juni - Yves Saint Laurent, msanii wa nguo kutoka Ufaransa
- 10 Juni - Kipkalya Kones, mwanasiasa wa Kenya
- 10 Juni - Lorna Laboso, mwanasiasa wa Kenya
- 15 Juni - Stan Winston, mwongozaji wa filamu kutoka Marekani
- 19 Juni - Noni Jabavu, mwandishi wa Afrika Kusini
- 23 Juni - Arthur Chung, Rais wa Guyana (1970-1980)
- 3 Julai - Levy Mwanawasa, Rais wa tatu wa Zambia (2001-2008)
- 27 Julai - Chacha Zakayo Wangwe, mwanasiasa wa Tanzania
- 28 Julai - Wendo Kolosoy, mwanamuziki kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
- 3 Agosti - Aleksandr Solzhenitsyn (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1970)
- 24 Agosti - Tad Mosel, mwandishi kutoka Marekani
- 26 Septemba - Paul Newman, mwigizaji wa filamu kutoka nchini Marekani
- 27 Oktoba - Ezekiel Mphahlele, mwandishi kutoka Afrika Kusini
- 10 Novemba - Miriam Makeba, mwanamuziki kutoka Afrika Kusini
- 29 Novemba - Jørn Utzon, msanifu majengo kutoka Denmark
