1986
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1950 |
Miaka ya 1960 |
Miaka ya 1970 |
Miaka ya 1980
| Miaka ya 1990
| Miaka ya 2000
| Miaka ya 2010
◄◄ |
◄ |
1982 |
1983 |
1984 |
1985 |
1986
| 1987
| 1988
| 1989
| 1990
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1986 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]- 25 Aprili - Mswati III wa Uswazi anapewa utawala wa kifalme.
Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
- 18 Januari - Ropa Garise, mwanamitindo kutoka Zimbabwe
- 11 Machi - Evans Wadongo, mhandisi wa Kenya
- 13 Machi - Nina Sky, wanamuziki mapacha kutoka Marekani
- 28 Machi - Lady Gaga, mwanamuziki kutoka Marekani
- 1 Julai - Agnez Mo, mwimbaji kutoka Indonesia
- 7 Agosti - Nancy Sumari, mrembo wa Tanzania, mwaka wa 2005
- 21 Agosti - Usain Bolt, mwanariadha kutoka Jamaika
- 26 Septemba - Brooke Allison, mwimbaji kutoka Marekani
- 24 Oktoba - Aubrey Drake Graham, mwanamuziki kutoka Kanada
- 10 Novemba - Samuel Wanjiru, mwanariadha kutoka Kenya
- 26 Novemba - Ali Kiba, mwanamuziki kutoka Tanzania
bila tarehe
- Kinée Diouf, mwanamitindo kutoka Senegal
- Nasreem Ndiye, Miss Tanzania 2008
- Fredinah Peyton, mwanamuziki kutoka Tanzania
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 10 Januari - Jaroslav Seifert, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1984
- 28 Januari - Gregory Jarvis, Christa McAuliffe, Ronald McNair, Ellison Onizuka, Judith Resnik, Dick Scobee, Michael J. Smith
- 18 Machi - Bernard Malamud, mwandishi kutoka Marekani
- 17 Aprili – Bessie Head, mwandishi wa Afrika Kusini na Botswana
- 9 Mei - Tenzing Norgay, mpelelezi kutoka Nepal
- 31 Mei - James Rainwater, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1975
- 13 Juni - Benny Goodman, mwanamuziki kutoka Marekani
- 14 Juni - Jorge Luis Borges, mwandishi kutoka Argentina
- 24 Julai - Fritz Lipmann, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1953
- 25 Septemba - Nikolay Semyonov, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1956
- 22 Oktoba - Albert Szent-Györgyi, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1937
- 23 Oktoba - Edward Doisy, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1943
- 31 Oktoba - Robert Mulliken, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1966
